VodaCom yafungua dawati la watu mahitaji maalum

Harriet Lwakatare, Mkurugenzi huduma kwa wateja Vodacom Tanzania

Wakati ulimwengu mzima ukiadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, kampuni ya Vodacom Tanzania imesema ili kuhakikisha kwamba wateja wake wote wanapata huduma stahiki imeamua kuzindua dawati maalum la huduma kwa wateja wenye mahitaji maalum ili kuweka usawa wa utoaji huduma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS