Wizara ya Mifugo yatakiwa kumaliza kero ya Kuku

Dkt.Doto Biteko, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati

Wizara ya mifugo na Uvuvi imeagizwa kushirikiana na sekta binafsi kwa ajili ya kuandaa mashamba darasa kwa ajili ya uzalishaji wa kuku wazazi, wa mayai, nyama na vifaranga ili kuongeza uzalishaji utakaopunguza changamoto ya mahitaji ya nyama hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS