Wananchi Njombe wapatiwa elimu ya Ebola majumbani
Kufuatia Mji wa Njombe kuwa na mwingiloano mkubwa wa wageni kutoka ndani na nje ya nchi kibiashara, Serikali kupitia idara ya afya imelazimika kuchukua tahadhali madhubuti dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa ebola kwa kuanza kutoa elimu kwa wananchi majumbani na katika mikusanyiko