Aliyepinduliwa Burkina Faso akimbilia Togo
Vyanzo vya kidiplomasia vya kikanda vimeeleza kuwa kiongozi wa mapinduzi Burkina Faso aliyechukua mamlaka mwezi Januari Paul-Henri Sandaogo Damiba alikimbilia katika nchi ya Togo Jumapili kufuatia mapinduzi yasiyokuwa na utulivu Afrika Magharibi mwaka 2022.

