Polisi waahidi kuendelea kutoa elimu kwa wananchi

Askari wa usalama barabarani akimsaidia mwananchi kuvuka barabara

Jeshi la Polisi Kitengo cha usalama barabarani limeahidi kuwa litaeendelea kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara, huku akiwapongeza wadau kutoka sekta binasfi ambao wamekuwa wakitoa elimu ya usalama barabarani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS