Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein, na viongozi wengine wa CCM Zanzibar
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein,leo ameongoza kikao Maalum cha kamati maalum ya halmashauri kuu ya CCM Taifa Zanzibar.