Namthamini 2022 yaanzia Mtwara

Wa pili kutoka kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Mhe Dustan Komba akipokea taulo za kike kutoka kwa wafanyakazi wa East Africa TV na East Africa Radio.

Kampeni ya Namthamini inayoendeshwa na East Africa TV na East Africa Radio imeanza kugawa taulo za kike kwa wanafunzi, na msimu huu imeanzia katika mkoa wa Mtwara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS