Boti yazama na kuua wahamiaji 11

Takribani watu 11  wanahofiwa kufa maji katika Pwani ya  Tunisia, huku wengine 12 wakiwa hawajulikani walipo baada ya boti iliyokua imewabeba wahamiaji 37 kuelekea nchini Italia kuzama jumanne iliyopita.   

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS