Wafugaji watakiwa kufuga kisasa

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega (Mb) ametoa rai kwa wafugaji nchini kununua ardhi kwa ajili ya ufugaji na kuweka miundombinu muhimu na kufuga kisasa ili kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS