Serengeti Girls wakabidhiwa Bima za Afya

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa

Waziri wa Utamaduni,Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amewaongoza Wadau mbalimbali wa michezo katika hafla ya kuwaaga na kuwakabidhi bima za Afya kikosi cha Serengeti Girls kinachokwenda kushiriki fainali za kombe la dunia kwa wasichana chini ya umri wa miaka 17 nchini India mwezi Ujao

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS