Waliosimamia ujenzi wa VETA Uyui kukamatwa

Waziri Mkuu Tanzania Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Tabora, Musa Chaulo kuwakamata watu wote wanaohusika na usimamizi wa ujenzi wa chuo cha ufundi stadi (VETA) Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora kwa tuhuma za ubadhilifu wa fedha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS