Walimu wapewe huduma katika vituo vya kazi

Waziri wa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa

Serikali kupitia ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) imewataka Waakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kufatilia na kusimamia viongozi wa elimu katika ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Kata na shule kutekeleza mikakati ya uboreshaji na usimamizi wa Elimu Nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS