Wafanyabiashara kuhamishiwa soko la wazi Dodoma

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ametangaza neema ya kuhamishwa wafanya biashara ndogondogo kutoka maeneo ambayo siyo rasmi na kuwapanga katika Soko la Wazi la Machinga kwa amani na utulivu ili waendelee kutekeleza majukumu yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS