Wakongwe wa burudani tumerudi

Wawili kushoto ni watangazaji wa East Africa TV&Radio Bhoke na Dullah Planet, katika ni Careen Maro kutoka EATV na Ahmed Yusuph kutoka THE WORK wakisaini mikataba hiyo na wa mwisho kulia ni Shumensa Nassor kutoka THE WORK

Katika kuhakikisha sasa ubora wa burudani unarudi kwao waanzilishi hii leo Septemba 8, 2022, kampuni THE WORKS kwa kushirikiana na East Africa Television na East Africa Radio wamesaini mkataba kwa ajili ya kuandaa na kusimamia matukio mbalimbali ya burudani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS