Bodaboda wanaovunja sheria Mbeya wasakwa

Jeshi  la Polisi mkoani Mbeya, limetangaza operesheni ya kuwakamata madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wakataokuvunja sheria za usalama barabarani ikiwemo kupita  kwenye taa za kuongoza magari bila kufuata utaratibu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS