Vijana watatu kunyongwa baada ya kumuua Mwanajeshi

Vijana watatu waliohukumiwa kunyongwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro, imewahukumu watu watatu kati ya tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya Ofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), anayefahamika kwa jina la Leonard Enyimba Yamakwa kwa makusudi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS