DC Kinondoni acharuka ubakaji kwenye 'school bus' Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni imeanzisha utaratibu wa kuweka Matron katika gari za kubeba wanafunzi baada ya kuibuka kwa vitendo vya ubakaji kwa watoto vinavyodaiwa kufanywa na madereva. Read more about DC Kinondoni acharuka ubakaji kwenye 'school bus'