DC Kinondoni acharuka ubakaji kwenye 'school bus'

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe

Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni imeanzisha utaratibu wa kuweka Matron katika gari za kubeba wanafunzi baada ya kuibuka kwa vitendo vya ubakaji kwa watoto vinavyodaiwa kufanywa na madereva.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS