Miguel Gamondi alalamikia ratiba inabana timu yake
Timu ya Wanachi inashika ya pili nyuma ya Singida Black Stars ikiwa imejikusanyia alama 18 katika michezo sita iliyocheza imefunga goli kumi na moja na haijaruhusu goli mpaka sasa kwenye ligi kuu ya Tanzania bara TPL.