Serikali kuondoa tozo miamala kuanzia sh.0 -30,000
Serikali ya Tanzania inatarajia kufanya marekebisho kadhaa katika tozo za miamala ya kifedha ikiwani pamoja na kuhamisha fedha kutoka benki kwenda mitandao ya simu na kufuta tozo za kuhamisha fedha ndani ya benki moja, ili kuepuka utozaji kodi mara mbili.