Kinana aridhishwa na ujenzi wa daraja la JPM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, na viongozi wengine wa CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama chao kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JP Magufuli litakalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la Kigogo-Busisi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS