Kinana aridhishwa na ujenzi wa daraja la JPM
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama chao kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JP Magufuli litakalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la Kigogo-Busisi.