Mzizima Dabi leo ,Mzunguko 3 Ukirejea

(Wachezaji wa Yanga Bakari Mwamnyeto na Fiston Mayele wakizuiliwa na mlinzi wa Azam FC Abdallah Kheri Sebo)

Mzunguko wa 3 wa Ligi Kuu Tanzania Bara(NBC Premier League 2022/23) inarejea leo kwa michezo miwili kuchezwa baada ya kusimama kwa wiki mbili kupisha michezo ya Taifa Stars ya kuwania kufuzu fainali za CHAN 2023 nchini Algeria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS