Haaland kiboko avunja rekodi ya mabao EPL
Mshambuliaji wa Manchester City Erling Haaland ameweka rekodi mpya ya kufunga mabao kwenye ligi kuu soka nchini England EPL baada ya kufunga mabo 3 (Hat-trick) kwenye mchezo dhidi ya Nottingham Forest City wakiibuka na ushindi wa mabao 6-0.