Mshtakiwa kesi ya Zumaridi aanguka mahakamani

Mfalme Zumaridi

Kesi namba 12 inayomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi, na wenzake 84 ya kufanya mkusanyiko usio halali imelazimika kusimama kwa muda wa nusu saa baada ya mshtakiwa namba 74  aitwaye Neema Juma kuanguka akiwa kizimbani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS