Polisi wasaka kishikwambi kilichoibiwa gesti

Kishikwambi

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea kukitafuta kishikwambi kilichoibiwa kwenye nyumba ya kulala wageni wilayani Chato mkoani Geita huku kimoja kilichoibiwa wilayani Mbogwe kikikamatiwa mkoani Singida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS