Serengeti Girls kuagwa kesho
Serikali kupitia Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, kesho Septemba 21,2022 inawaaga mashujaa wa taifa, Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake (Serengeti Girls U17) kwa ajili ya kwenda nchini Uingereza kufanya maandalizi ya mwisho ya kushiriki mashindano ya dunia.