Waondoleeni wavuvi tozo kubwa - Majaliwa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuhakikisha inawawezesha wavuvi wadogowadogo kwa kuwapatia elimu ya uvuvi endelevu na kuzitaka halmashauri kuondoa tozo kubwa kwa wavuvi wadogowadogo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS