Chupa za maji zaiponza Yanga kikosi cha Yanga Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa za maji uwanjani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania. Read more about Chupa za maji zaiponza Yanga