TFF yavunja benchi la Ufundi Taifa Stars
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limefikia makubaliano ya kumuondoa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Stars Mdenmark Kim Poulsen pamoja na benchi lote la Ufundi la Taifa Stars. huku kocha Kim atasalia kwenye timu za vijana mpaka mkataba wake utakapomalizika .