TFF yavunja benchi la Ufundi Taifa Stars

Kocha Kim Poulsen Februari 2021 alisaini mkataba wa miaka 3 wa kuitumikia Taifa Stars

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limefikia makubaliano ya kumuondoa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Stars Mdenmark Kim Poulsen pamoja na benchi lote la Ufundi la Taifa Stars. huku kocha Kim atasalia kwenye timu za vijana mpaka mkataba wake utakapomalizika .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS