Mabalozi watakiwa kuhamasisha masoko

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania, katika mataifa mbalimbali waweke msisitizo katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi na kuhamasisha zaidi upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani na uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS