"Kona zisiwe nyingi kwa anayehitaji dhamana"- DCI

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) Ramadhan Kingai

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) Ramadhan Kingai, amewataka Askari nchini kujiepusha na vitendo vya rushwa wawapo kazini na badala yake amewataka wafanye kazi kwa weledi na uaminifu mkubwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS