Serikali yaahidi kituo cha afya Chato

Naibu Waziri wa Maliasili na utalii Marry Masanja

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeahidi kujenga kituo cha afya kwenye kata ya Minkoto Wilayani Chato ili kuwapunguzia adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya  wananchi wa kata tatu zinaozunguka Shamba la Miti Silayo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS