Mkuu wa shule na mhasibu wapandishwa kizimbani

Mkuu wa shule ya Sekondari Faraja pamoja na Mhasibu wa shule hiyo wamefikishwa mbele ya mahakama kuu ya Zanzibar Tunguu kwa tuhuma ya kujipatia fedha zaidi ya milioni 50  kwa njia ya udanganyifu fedha ambazo ni za serikali 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS