Walioshindwa kuwazuia al-Shabab kuwajibishwa

Waziri Mkuu wa Somalia Hamsa Abdi Barre amesema  atawawajibisha maafisa wa usalama walioshindwa kuzuia shambulizi la mauaji lililotelekezwa na vikosi vya  al-Shabab kwenye hoteli ya  Hayat Hotel huko mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS