Afisa mipango atuhumiwa kubaka mtoto kwenye gari

Dickson Beno Mwenda (37) ambaye ni Afisa mipango miji wa Halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi  anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumbaka binti mdogo mwenye umri wa miaka 15 ndani ya gari

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS