Dkt.Nchemba kusomesha watoto wa diwani aliyefariki

Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiweka shada la maua katika kaburi la aliyekuwa Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Kinampanda Wilayani Iramba Singida, Bi. Winzuka Mkumbo, aliyefariki kwa ajali ya gari.

Waziri wa Fedha na Mipango na Mbunge wa Iramba Magharibi, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameahidi kuchangia gharama za masomo kwa watoto wa aliyekuwa Diwani wa viti maalum tarafa ya Kinampanda Iramba, Bi. Winjuka Mkumbo, aliyefariki kwa ajali ya gari iliyotokea Wilaya ya Manyoni Singida

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS