Msigwa aomba utulivu suala la tozo

Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa

Msemaji Mkuu wa serikali Gerson Msigwa, amesema kuwa kuna upotoshaji mkubwa kuhusu tozo za miamala ya kielektroniki iliyoanza katika mwaka huu wa fedha (2022/23) na kusema serikali imepunguza kwa kiasi kikubwa tozo hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS