Waziri Mkuu atatua mgogoro wa miaka 3 Kinondoni

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka mitatu katika eneo la Boko-Dovya, wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam baina ya Aloyce Mwasuka na Salutari Massawe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS