Chebukati alitupindua akatangaza matokeo - Juliana Makamishna wanne wa Tume ya Uchaguzi Kenya IEBC wakiongozwa na Naibu mwenyekiti Juliana Cherera, wameeleza sababu zilizowafanya kujitoa katika mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi nchini humo Read more about Chebukati alitupindua akatangaza matokeo - Juliana