United wapanga kumuachia Ronaldo

Cristiano Ronaldo mshambuliaji wa Manchester United

Klabu ya Manchester United inafikiria kumruhusu Cristiano Ronaldo kuondoka Old Trafford kabla ya dirisha la usajili la sasa kufungwa kufuatia kuwepo kwa wasiwasi kwamba hali ya mshambuliaji huyo inaathiri ari ya kambi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS