Waliofariki Mbeya kwa ajali wafika 19

Moja ya gari lililoparamiwa na lori

Idadi ya watu waliofariki katika ajali iliyotokea hii leo Agosti 16, 2022, katika eneo la mteremko wa Inyala Pipeline wilayani Mbeya imefikia 19 ambapo kati yao wanaume ni 12 wanawake sita na mtoto mmoja. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS