Waajiriwa wapya 6 wakutwa na vyeti vyenye utata Mkurugenzi wa TAKUKURU Hamduni Masauni Waajiriwa wapya 6 kati ya waajiriwa 553 wa mafunzo ya maafisa uchunguzi pamoja na maafisa uchunguzi wasaidizi wamekutwa na vyeti vyenye utata huku wawili 2 wakikutwa na vyeti vya kufoji Read more about Waajiriwa wapya 6 wakutwa na vyeti vyenye utata