Wachezaji Stars kufundishwa uzalendo

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia amesema anatamani kuona Vijana wakipita kwenye mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa ‘JKT’ Ikuwasaidia vijana hao kuwa na Uzalendo pindi watakapozichezea timu za Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS