Msigwa aeleza jinsi ambavyo Rais Samia halali Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, amewataka Watanzania kuendelea kumuunga mkono na kumtia moyo Rais Samia, kwani halali akihangaika kwa ajili ya shida za Watanzania. Read more about Msigwa aeleza jinsi ambavyo Rais Samia halali