Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa amezipongeza timu za Simba na Yanga kwa kutinga kwenye michezo ya mtoano hatua ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika