Simba ,Yanga jikaze kimataifa -Waziri Mchengerwa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Mohamed Mchengerwa amezipongeza timu za Simba na Yanga kwa kutinga kwenye michezo ya mtoano hatua ya kwanza ya michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS