Waliopisha miradi ya Liganga na Mchuchuma kulipwa

Wananchi  Wilayani Ludewa Waliopisha Miradi Mikubwa  na Hazina ya Taifa ya Liganga na Mchuchuma  kwa  Miaka  Mingi Sasa wamesema wapo  tayari  kulipwa  fidia yao  huku  Serikali  ikisema  hatua za kulipa fidia hizo zimekamilika caada ya wananchi hao Kusubiri kwa mrefu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS