Waliopisha miradi ya Liganga na Mchuchuma kulipwa
Wananchi Wilayani Ludewa Waliopisha Miradi Mikubwa na Hazina ya Taifa ya Liganga na Mchuchuma kwa Miaka Mingi Sasa wamesema wapo tayari kulipwa fidia yao huku Serikali ikisema hatua za kulipa fidia hizo zimekamilika caada ya wananchi hao Kusubiri kwa mrefu