Wasichana wafanya ngono kwa 1000
Wanawake wa Kijiji cha Katisunga wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi wamehofia ndoa zao kuvunjika kutokana na makundi ya wasichana wadogowadogo kuvamia Kijiji hicho na kufanya biashara ya ngono kwa bei chee ya shilingi 1000, huku wakipewa majina ya panya road na damu chafu.