Njia nane kutoka Kimara hadi kibaha asilimia 88

Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema ujenzi wa mradi wa barabara ya njia nane ya kutoka Kimara hadi Kibaha umefikia asilimia 88 huku ikiahidi kujenga barabara ya kasi itakayo kuwa ya kutoka kibaha hadi Morogoro pamoja na kutanua njia kutoka Kimara hadi Ubungo 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS