Rais Museveni apuuza azimio la Ulaya.

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa hakuna atakayezuia  mradi mkubwa wa bomba la mafuta Afrika mashariki, akipuuza azimio la wabunge wa Ulaya lililotaka mradi huo ucheleweshwe kutokana na lilichokiita ''ukiukwaji wa haki za binadamu''. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS