Utatuzi wa mgogoro wa Kitulo kuwa shirikishi
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amemuhakikishia Rais wa wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kutekeleza maagizo aliyoyatoa ya kuhakikisha migogoro ya mipaka baina ya wananchi na Hifadhi za Taifa inatatuliwa haraka