Parimatch yaidhamini Mbeya City kwa msimu 2022/23

Makabidhiano ya jezi kama ishara ya udhamini wa kampuni ya Parimatch katika klabu ya Mbeya City

Kampuni ya michezo ya kubashiri mtandaoni ya Parimatch imetangaza kuingia makubaliano ya kuidhamini klabu ya Mbeya City kwa msimu wa 2022/23.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS